Sunday, July 29, 2012

Msasani Lutheran Church

Kengele ikipigwa kuashiria jambo (kufunga ndoa) takatifu likiwa tayari kuanza


wakiwa tayari mbele wakimsikiliza mchungaji Hiza akiwapa maneno matakatifu

Matooooo naona meno thelathini na nje yote mbili aaah! sori.... ni meno thelathini na mbili yote nje, chezea kitu cha kuvuta jiko ndani weeeee!!!!


the man himself MATO wakipiga hatua na BestMan wakiwa nda ya Suti maridadi kitu cha Single Button
waling'aa aibuuuuu!!!!!


Aliyependeza kuliko wote huyo ni Nehema akiingia Chach akiwa na matroni wake


Linda na wifi yake Rehema wakipoz kabla ya kuingia chach
©Mkimya Ent.

No comments:

Post a Comment